Wednesday, December 24, 2008

Kutoka Kanisani Katesh

"Naam; hamkupata kusoma [Zaburi 8:2], Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umekamilisha sifa?" -Yesu/Mathayo 21:16

" Waachieni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wao hao, ufalme wa mbinguni ni wao" - Yesu/Mathayo 19:16

"Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao " - Yesu/Mathayo 18:20

No comments:

Post a Comment