Wednesday, December 24, 2008

Misheni: Kitovu cha Injili Upareni Suji

"Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache" - Yesu/Matthayo 7:14
"Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha" - Yesu/Mathayo 11:28

"Enenda zako; wala usitende dhambi tena" - Yesu/Yohana 8: 11

"Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe" - Yesu/Marko 16:15

"Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja" - Yesu/Mathayo 24: 14

No comments:

Post a Comment